• HABARI MPYA

    Sunday, November 06, 2016

    IBRAHIMOVIC APIGA KUNG FU BAADA YA KUIFUNGIA MAWILI MAN U IKIUA 3-1

    Zlatan Ibrahimovic akishangilia kwa mapigo ya teke la Kung Fu huku wachezaji wenzake, Juan Mata na Phil Jones wakimuangalia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 21 na 33 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City Uwanja wa Liberty. Bao lingine la United lilifungwa na Paul Pogba dakika ya 15, wakati la Swansea lilifungwa na Mike van der Hoorn dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IBRAHIMOVIC APIGA KUNG FU BAADA YA KUIFUNGIA MAWILI MAN U IKIUA 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top