Zlatan Ibrahimovic akishangilia kwa mapigo ya teke la Kung Fu huku wachezaji wenzake, Juan Mata na Phil Jones wakimuangalia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 21 na 33 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City Uwanja wa Liberty. Bao lingine la United lilifungwa na Paul Pogba dakika ya 15, wakati la Swansea lilifungwa na Mike van der Hoorn dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Browns' Deshaun Watson Remains on Schedule amid Shoulder Injury Rehab, GM
Says
-
After suffering a shoulder injury last November that forced him to miss the
second half of the 2023 season, Deshaun Watson is reportedly on schedule to
mak...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment