Philippe Coutinho (kushoto) na Gabriel Jesus (kulia) wakishangilia na Neymar aliyefunga bao la pili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini leo Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto mjini Belo Horizonte, Minas Gerais, Brazil. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Coutinho na Paulinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Windhorst: Lakers' Anthony Davis Blamed Darvin Ham for G2 Loss with
Postgame Comments
-
Los Angeles Lakers star center Anthony Davis made pointed comments about
the coaching in the team's devastating Game 2 loss to the Denver Nuggets,
and one…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment