Olivier Giroud akienda hewani kupiga mpira kwa kichwa kuifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 89 akimalizia krosi ya Alex Oxlade-Chamberlain, kufuatia Juan Mata kutangulia kuifungia Manchester United dakika ya 68 Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kocha wa United, Mreno Jose Mourinho alikasirika na kufoka baada ya refa Andre Marriner kutotoa penalti kutokana na Antonio Valencia kuangushwa kwenye boksi na Nacho Monreal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dani Alves is told he would be 'KILLED' in Brazil as he is heckled and
jeered after being spotted in Barcelona following court hearing as
disgraced star appeals conviction for rape
-
The former Barcelona player was released from Brians 2 prison on Monday
after 15 months spent behind bars awaiting his trial for raping a woman in
December...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment