• HABARI MPYA

    Sunday, November 06, 2016

    ARSENAL YAAMBULIA SARE KWA SPURS EMIRATES

    Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akimtoka Mousa Dembele wa Tottenham Hotspur (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 Harry Kane akiisawazishia Spurs kwa penalti dakika ya 51 baada ya after Laurent Koscielny kumchezea rafu Mousa Dembele kufuatia Kevin Wimmer kuanza kujifunga dakika ya 42 kuipatia Arsenal bao la kuongoza PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAAMBULIA SARE KWA SPURS EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top