Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akimtoka Mousa Dembele wa Tottenham Hotspur (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 Harry Kane akiisawazishia Spurs kwa penalti dakika ya 51 baada ya after Laurent Koscielny kumchezea rafu Mousa Dembele kufuatia Kevin Wimmer kuanza kujifunga dakika ya 42 kuipatia Arsenal bao la kuongoza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sauce Gardner sparks 'Drake Curse' fears among Jets fans after posting a
picture with the world-famous rapper, before telling supporters 'we good'
in follow-up post
-
Sauce Gardner has sparked fears among Jets fans that the team will fall
victim to the 'Drake Curse' after he posted a picture with the rapper.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment