Kiungo wa Mtibwa Sugar, Shaaban Nditi akiutelezea mpira kuondosha miguuni mwa winga wa Yanga SC, Geoffrey Mwashiuya jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-1
Mfungaji wa bao la kwanza la Yanga jana, Obrey Chirwa akimtoka beki wa Mtibwa Sugar, George Gabriel
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akijaribu kumpita beki wa Mtibwa, Cassian Ponera
Mfungaji wa bao la pili la Yanga, Simon Msuva akiwatoka wachezaji wa Mtibwa
Beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) akiwania mpira dhidi ya mfungaji wa bao pekee la Mtibwa jana
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimuangukia kiungo wa Mtibwa Sugar, Ibrahim Rajab 'Jeba'
Mfungaji wa bao la tatu la Yanga, Donald Ngoma (kushoto) akigombea mpira na kiungo wa Mtibwa, Shaaban Nditi
Juma Abdul akimfunga tela Haroun Chanongo
Kikosi cha Yanga jana
Kikosi cha Mtibwa Sugar jana
Windhorst: NBA Scouts Think Bronny James Was Played Out of Position at USC
-
NBA scouts believe USC didn't play Bronny James at his best position when
he spent last season with the Trojans. Appearing on the Pat McAfee Show on
Thursd...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment