Kikosi cha Yanga timu ya vijana ya Yanga, ambacho mwaka 1973 kilikwenda mjini Mwanza kwenye sherehe za mashindano ya uzinduzi wa timu ya Toto Africans, ambayo ni tawi la klabu hiyo mjini humo. Waliosimama kutoka kulia Mzee Kwala, Sululu, Chotta, Muhamed Mkweche, Muhamed Yahaya "Tostao" (anaechungulia jina lake halikupatikana) Kassim Manara na Shiraz Shariff (wawili wa mwisho majina yao hayakupatikana). Waliochuchumaa kutoka kushoto ni Abdulrahman, Kibonge, Bilal Kabange, Muhamed Rishard Adolph, Mohammed Sengendo, Gordian Mapango, Jaffar Abdulrahman (wawili waliobaki majina yao hayakupatiakana na kati ya mmoja wao ni Dk Ramadhani Dau
Luke Littler taunts Liverpool fans over Merseyside derby defeat... as the
Man United fan is jeered at Premier League Darts before beating Gerwyn Price
-
The 17-year-old is a vocal Man United supporter, leading to him being booed
ahead of his walk-on for his quarter-final match against Gerwyn Price at
the M&...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment