Nyota wa Ujerumani, Thomas Mueller (kulia) na Jonas Hector wakishangiia bao la tatu la timu yao katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech usiku wa Jumamosi kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Volkspark mjini Hamburg. Mabao ya Ujerumani yalifungwa na Muller dakika za 13 na 65 wakati lingine lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernandez to miss rest of season after operation
-
Chelsea midfielder Enzo Fernandez will miss the rest of the season after
undergoing successful surgery on a groin issue.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment