Eden Hazard akimlamba chenga mchezaji mwenzake wa Chelsea, kipa Asmir Begovic kuifungia Ubelgiji bao la pili dakika ya 26 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Bosnia-Herzegovina kwenye mchezo wa Kundi H usiku wa jana Uwanja Roi Baudouin mjini Brussel, Ubelgiji. Mabao mengine ya wenyeji yalifungwa na Emir Spahic aliyejifunga dakika ya 26, Toby Alderweireld dakika ya 60 na Romelu Lukaku dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden reveals what it's REALLY like to play for Pep Guardiola in an
It's All Kicking Off podcast special
-
The 23-year-old, who announced this week that he and his girlfriend are
expecting their third child, sat down with It's All Kicking Off co-host and
Mail Sp...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment