Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib akimka kiungo wa Kagera Sugar ya Bukoba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Beki Mkongo wa Simba, Janvier Bokungu (katikati) akipambana na mchezaji wa Kagera Sugar
Ally Nassoro wa Kagera Sugar (kushoto) akijivuta kupiga mpira mbele ya beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala'
Shaaban Sunza wa Kagera Sugar (kushoto) akipambana na Nahodha wa Simba, Jonas Mkude
Kiungo wa Simba, Mohammed 'Mo' Ibrahim akiambaa na mpira dhidi ya wachezaji wa Kagera Sugar
Mpishi wa bao la kwanza la Simba na mfungaji wa bao la pili, Shizza Kichuya akishangilia na wenzake jana baada ya kufunga
Öffentliches Training am Dienstag in Brackel
-
Am Dienstag, 24. April 2024, ab ca. 10:30 Uhr trainieren Borussia Dortmunds
Profis auf dem Trainingsgelände Hohenbuschei in Brackel öffentlich.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment