• HABARI MPYA

    Sunday, October 16, 2016

    REAL MADRID YAWAFANYA VIBAYA REAL BETIS, YAWAPIGA 6-1 LA LIGA

    Cristiano Ronaldo akimpongeza Marcelo kwa kuifungia Real Madrid bao la tatu katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Real Betis usiku huu Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Raphael Varane, Karim Benzema, Isco mawili na Ronaldo wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Cejudo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YAWAFANYA VIBAYA REAL BETIS, YAWAPIGA 6-1 LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top