Quincy Promes (katikati) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 15 na 31 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Belarus usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam kwenye mchezo wa Kundi A. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Davy Klaassen dakika ya 55 na Vincent Janssen dakika ya 64, wakati la Belarus lilifungwa na Alexei Rios PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Larry Lloyd dead at 75: Nottingham Forest pay tribute to former England and
Liverpool defender who won two European Cups under Brian Clough
-
Former Liverpool and Nottingham Forest star Larry Lloyd, who won two
European Cups under Brian Clough, died on Thursday aged 75.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment