Mshambuliaji wa Juventus, Mario Mandzukic akiifungia Croatia bao dakika ya 35 kukamilisha hat-trick yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji Kosovo usiku wa jana katika mchezo wa Kundi I kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Loro Borici, mjini Shkoder baada ya awali kufunga dakika za sita (6) na 24. Mabao mengine ya Croatia yalifungwa na Matej Mitrovic dakika ya 68, Ivan Perisic dakika ya 83 na Nikola Kalinic dakika ya 90+2 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Windhorst: Lakers' Anthony Davis Blamed Darvin Ham for G2 Loss with
Postgame Comments
-
Los Angeles Lakers star center Anthony Davis made pointed comments about
the coaching in the team's devastating Game 2 loss to the Denver Nuggets,
and one…
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment