Mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi timu yake dakika ya 90 na ushei ikiilaza 2-1 Armenia katika mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Narodowy, Warszawa. Hrayr Mkoyan alijifunga dakika ya 48 kuipatia Poland bao la kwanza, wakati bao la Armenia lilifungwa na Marcos Pizzelli dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag: There was no panic
-
The boss feels his side were composed in responding to conceding two
'unacceptable' goals on Wednesday.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment