Kiungo wa Italia, Daniele de Rossi akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha kwa penalti dakika ya 82 baada ya Eder kuangushwa na Sergio Ramos wa Hispania timu hizo zikitoa safre ya 1-1 katika mchezo wa Kundi G kuwania tiketi ya Kombe la Dunia mwaka 2018 Urusi uliofanyika usiku wa jana Uwanja wa Juventus mjini Turin. Hispania walitangulia kwa bao la Vitolo dakika ya 55 akitumia vizuri makosa ya gwiji wa Italia, Gianluigi Buffon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Thuram trolls rivals AC Milan as Frenchman celebrates winning Serie
A by draping an Inter Milan shirt over a Rossoneri corner flag... before
thanking 'his best uncle' Thierry Henry
-
Joyous scenes erupted at full-time after Inter secured their 27th victory
of the season in the Derby della Madonnina, with Inzaghi's side having
stormed to...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment