Winga wa Simba SC, Shizza Ramadhani Kichuya akinyoosha mkono kuwapa ishara mashabiki wa Simba baada ya kufunga bao la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Mbeya City Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Bao lingine la Simba lilifungwa na Ibrahim Hajib
Auburn's Bruce Pearl Slams Fans for Criticizing Chad Baker-Mazara After
Yale Ejection
-
Auburn head coach Bruce Pearl came to the defense of Chad Baker-Mazara
after the junior guard was ejected from the Tigers' 78-76 loss to Yale in
the first…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment