Kevin Gameiro (kushoto) akishangilia bao lake la pili baada ya kusetiwa na mchezaji mwenzake wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Bulgaria usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Gameiro alifunga dakika za 23 na 38, wakati mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Dimitri Payet dakika ya 26 na Griezmann dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Tedesco under fire with footy fans after blatant trip on Melbourne
Storm fullback Ryan Papenhuyzen - as Roosters star is hit with a feather by
NRL judiciary
-
Roosters star James Tedesco has learnt his fate after appearing to trip
Melbourne Storm fullback Ryan Papenhuyzen on Thursday night at Allianz
Stadium - an...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment