Mshambuliaji wa Ubelgiji, Christian Benteke baada ya kufunga bao la mapema zaidi katika ya Kombe la Dunia usiku wa jana sekunde ya saba katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Gibraltar Uwanja wa Estadio Do Algarve mjini Sao Joao da Venda. Katika mchezo huo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi, Benteke alifunga mabao matatu dakika za kwanza, 43 na 56, wakati mengine yalifungwa na Axel Witsel dakika ya 19, Dries Martens dakika ya 51 na Eden Hazard dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Rumors: Broncos 'Quietly Did A Lot of Work' on Bo Nix Amid
QB Buzz
-
The Denver Broncos traded for Zach Wilson, but that might not take them out
of the quarterback game during Thursday's NFL draft. Albert Breer of The
MMQB…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment