Thomas Muller akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la tatu na la pili kwake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Norway kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Ullevaal mjini Oslo. Bao lingine la Ujerumani lilifungwa na Joshua Kimmich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernandez to miss rest of season after operation
-
Chelsea midfielder Enzo Fernandez will miss the rest of the season after
undergoing successful surgery on a groin issue.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment