• HABARI MPYA

    Saturday, September 03, 2016

    SUPER GIRLS TATU WATWAA UBINGWA AIRTEL RISING STARS LINDI


    Nahodha wa timu ya Super Girls Tatu Makota akipokea kombe la ubingwa wa michuano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Lindi kutoka kwa Katibu Tawala wa wilaya ya Nachingwea Hadja Sekibo baada ya kuifunga VC Vito Malaika 4-1 katika fainali iliyochezwa kwenye uwanja wa Sokoine, Nachingwea.
    Katibu Tawala wa Wilaya ya Nachingwea Hadja Sekibo akikagua timu wakati wa fainali za michuano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Lindi zilizofanyika kwenye uwanja wa Sokoine, Nachingwea. Super Girls ilishinda 4-1 dhidi ya VC Vito Malaika.
    Wachezaji wa timu ya Super Girls wakishangalia ubingwa wa michuano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Lindi baada ya kuifunga VC Vito Malaika 4-1 katika fainali iliyochezwa kwenye uwanja wa Sokoine, Nachingwea.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUPER GIRLS TATU WATWAA UBINGWA AIRTEL RISING STARS LINDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top