Nahodha wa timu ya Super Girls Tatu Makota akipokea kombe la ubingwa wa michuano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Lindi kutoka kwa Katibu Tawala wa wilaya ya Nachingwea Hadja Sekibo baada ya kuifunga VC Vito Malaika 4-1 katika fainali iliyochezwa kwenye uwanja wa Sokoine, Nachingwea.
Saturday, September 03, 2016
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment