Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia hat trick timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 ya England katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Norway usiku wa jana kuwania tiketi ya Euro 2017. Mabao mengine ya England yalifungwa na Nathaniel Chalobah, Ruben Loftus-Cheek na Lewis Baker, wakati la kufutia machozi la Norway lilifungwa na Ghayas Zahid mjini Colchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luka Dončić, Mavs Hyped By NBA Fans for Series-Tying Win vs. Kawhi Leonard,
Clippers
-
Home-court advantage belongs to the Dallas Mavericks. Luka Dončić led his
team to a 96-93 victory over the Los Angeles Clippers in Game 2 of their
first-ro...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment