• HABARI MPYA

    Thursday, September 15, 2016

    NGASSA ATUA SALAMA MUSCAT, KESHO MEZANI FANJA

    Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa (kulia) akiwa na kiongozi wa Fanja aliyefika kumpokea usiku huu Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Muscat, Oman ambako amekwenda kwa mazungumzo ya kusaini klabu hiyo baada ya kuondoka Free State Stars ya Afrika Kusini  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGASSA ATUA SALAMA MUSCAT, KESHO MEZANI FANJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top