Wakali watatu wa Barcelona, kutoka kushoto Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar wakishangilia ushindi wa 5-1 ugenini dhidi ya wenyeji Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque mjini Leganes katika mchezo wa La Liga leo. Messi alifunga mabao mawili dakika za 15 na 55, Suarez moja dakika ya 31, Neymar moja dakika ya 44 na lingine Rafinha dakika ya 64, wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Gabriel dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment footy star is spotted making X-rated comment during poignant
Anzac Day ceremony ahead of Collingwood vs Essendon
-
During the Australian national anthem, he was seen turning to fellow Pies
star Steele Sidebottom and appeared to say 'I f***ing s*** myself',
referrinbg to...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment