Mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa Nigeria, Nwankwo Kanu akijivuta kupiga penalti kukamilisha hat-trick yake katika ushindi wa 4-2 dhidi ya AC Milan kwenye mchezo wa kirafiki baina ya magwiji wa Arsenal dhidi ya magwiji wa AC Milan ya Italia. Bao lingine la The Gunners lilifungwa na Robert Pires, wakati mabao ya Milan yalifungwa na Christian Vieri yote katika mchezo huo wa hisani, ambao sehemu ya mapato yake, Pauni Milioni 1 zitatumika kujenga viwanja vya mchezo huo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Updated 2024 AEW Dynasty Card and Predictions for Match Order
-
The inaugural AEW Dynasty pay-per-view is set for Sunday, and it will see
nearly every major AEW championship be put on the line. In the likely main
event,…
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment