Wachezaji wa Yanga SC, kutoka kulia Wazimbabwe Donald Ngoma, Thabani Kamusoko na wananchi Juma Abdul, Simon Msuva na Mwinyi Hajji Mngwali wakijadiliana namna ya kupiga mpira wa adhabu dakika za mwishoni katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Ndanda FC jioni ya leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara. Timu hizo hazikufungana.
Top lawyer reveals the loophole that will save footy star Braydon Trindall
from getting in trouble for failing a drug test after partying with
teammates
-
The 24-year-old Cronulla star was pulled over at 9.45am on Monday in the
southern Sydney suburb of Caringbah. He has been stood down from training
and play...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment