Diego Costa (katikati) akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza katika ushindi wa 8-0 wa Hispania dhidi ya Liechtenstein mechi ya kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Ulaya. Costa alifunga mabao mawili jana Uwanja wa Manispaa ya Reino de Leen mjini Leon, Hispania wakati mabao mengine yalifungwa na Sergi Roberto, David Silva mawili, Vitolo na Alvaro Morata mawili pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry reveals Rio Ferdinand has blanked him on the beach in Dubai in a
bitter 14-year-long spat over claims the ex-Chelsea captain racially abused
his old team-mate's brother Anton
-
The allegation was made by Anton following a game between Chelsea and QPR
at Loftus Road in 2011. Terry has always denied abusing the ex-QPR centre
back, a...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment