Nyota wa Brazil, Neymar (kushoto), akipambana na mchezaji wa Colombia, Wilmar Barrios katika mchezo wa kufuzu Komne la Dunia mjini Manaus, Brazil jana, Brazil ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joao Miranda dakika ya pili na Neymar dakika ya 74 wakati Marquinhos alijifunga dakika ya 36 kuipatia Colombia bao la kufutia machozi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wheatley reacts to historic 'honour'
-
See what 18-year-old Ethan said, after becoming the club's 250th player to
graduate from the Academy.
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment