• HABARI MPYA

    Wednesday, September 07, 2016

    BRAZIL YAITANDIKA 2-1 COLOMBIA KUFUZU KOMBE LA DUNIA

    Nyota wa Brazil, Neymar (kushoto), akipambana na mchezaji wa Colombia, Wilmar Barrios katika mchezo wa kufuzu Komne la Dunia mjini Manaus, Brazil jana, Brazil ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joao Miranda dakika ya pili na Neymar dakika ya 74 wakati Marquinhos alijifunga dakika ya 36 kuipatia Colombia bao la kufutia machozi  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL YAITANDIKA 2-1 COLOMBIA KUFUZU KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top