Nyota wa Argentina, Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu peke yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Borussia Monchengladbach katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olivier Giroud completes free summer transfer to LAFC from AC Milan ahead
of Euro 2024
-
According to transfer guru Fabrizio Romano, Giroud signed a contract to
join the LA-based MLS team on Tuesday, just a month after verbally agreeing
to join...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment