Kipa wa Mtibwa Sugar, Abdallah Makangana akiwa amedaka mpira mbele ya winga wa Yanga, Obrey Chirwa (kushoto) huku akilindwa na beki wake, Cassian Ponera (kulia) katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0
Obrey Chirwa (kushoto) akimpira beki wa Mtibwa Sugar, Cassian Ponera
Beki wa Mtibwa, Salum Mbonde akigeuka na mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akiwachambua wachezaji wa Mtibwa Sugar
Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke akimgeuza beki wa Mtibwa Sugar, Ally Shomary
Beki wa Yanga, Hassan Kessy (kushoto) akiwatoka mabeki wa Mtibwa
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akifumua shuti mbele ya wachezaji wa Mtibwa
Winga wa Mtibwa Sugar, Haroun Chanongo akimtoka beki wa Yanga, Hassan Kessy
Kikosi cha Yanga jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Mtibwa Sugar jana Uwanja wa Taifa
Arsenal vs Chelsea - Premier League: Live score, team news and updates as
Mikel Arteta's side can stretch their lead at the top of the Premier League
to three points with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Arsenal host Chelsea in Premier League action.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment