Kiungo Mzambia wa Yanga, Obrey Chirwa akiwatoka wachezaji wa Medeama FC ya Ghana katika mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mshambuliaji Mzimbabwe wa Yanga, Donald Ngoma akimuacha nyuma beki wa Medeama baada ya kumlanga chenga nzuri
Mshambuliaji Mrundi wa Yanga, Amissi Tambwe (kulia) akigombea mpira na beki wa Medeama
Donald Ngoma akimtoka beki wa Medeama jana Uwanja wa Taifa
Kiungo wa Yanga, Simon Msuva akitafuta maarifa ya kumpiga beki wa Medeama
Kiungo wa Yanga, Mbuyu Twite akipambana na kiungo wa Medeama
Makocha wa Yanga, kutoka kushoto Mholamnzi Hans van der Pluijm, Juma Mwabusi na Menejea,mHafidh Saleh
Wachezahu wa Yanga na Medeama wakitoka kwenye vyumba kuingia uwanjani
Kikosi cha Medeama jana Uwanja wa Taofa
Kiko cha Yanga kilichotoa sare ya 1-1 na Medeama jana
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment