SOTO ALIVYOANZA KUMREJESHA KAZINI KAPOMBE TARATIBU LEO CHAMAZI
Mtaalamu wa viungo wa Azam FC kutoka Hispania, Sergio Perez Soto akimfanyisha mazoezi beki wa timu hiyo, Shomary Kapombe asubuhi ya leo kwenye gym ya klabu hiyo ndani ya viunga vya Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Kapombe ameanza mazoezi leo baada ya kuwa nje ya Uwanja tangu Aprili kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa Pulmonary Embolism (donge la damu kuziba mishipa ya damu katika mapafu).
Kapombe sasa anapambana ili kuwa fiti aweze kurejea uwanjani msimu ujao
Leo ameanza taratibu mazoezi ya gym na atakuwa akiongeza kasi taratibu kadiri siku zinavyokwenda
Öffentliches Training am Dienstag in Brackel
-
Am Dienstag, 24. April 2024, ab ca. 10:30 Uhr trainieren Borussia Dortmunds
Profis auf dem Trainingsgelände Hohenbuschei in Brackel öffentlich.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment