SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) leo limetoa ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ambayo itaanza Agosti 20 kwa mechi saba kuchezwa kwenye viwanja tofauti, ikitanguliwa na mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Azam na Yanga Agosti 17, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
RATIBA KAMILI YA LIGI KUU GONGA HAPA
RATIBA KAMILI YA LIGI KUU GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment