Mshambuliaji wa Manchester United, Will Keane (kulia) akishangilia na kiungo Juan Mata baada ya kufunga bao katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Wigan kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa DW, huo ukiwa mwanzo mzuri kwa kocha mpya Mreno, Jose Mourinho. Bao lingine la United lilifungwa na kiungo Andreas Pereira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ben Simmons Rumors: Nets Star 'Loves the NBA Lifestyle Too Much' to
Consider Retiring
-
Ben Simmons is already back in the gym working out, but after years of
starts and stops, some have wondered if he's much longer for the NBA. Well,
wonder no…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment