Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na West Ham, Msenegali Demba Ba (kulia), anayechezea Shanghai Shenhua kwa sasa akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu mbaya na Nahodha wa Shanghai SIPG, Sun Xiang Jumapili katika mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu ya China Jumapili. Katika mchezo huo, ambao Shenhua walishinda 2-1, Ba alivunjika mguu na kwa sasa amelazwa hospitali China huku taarifa zikisema atakuwa nje ya Uwanja kwa muda usipungua miezi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Penix Jr. Disappointed with 4.46-Second 40-Yard Dash: 'Should've
Been a 4.4'
-
Former Washington quarterback Michael Penix Jr. wasn't impressed with his
40-yard dash time of 4.46 seconds at the school's pro day on Thursday.
"Should've…
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment