Kiungo wa Liverpool, Marko Grujic akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Fleetwood Town kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Highbury, Fleetwood mjini Lancashire. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Ben Woodburn, Lucas Leiva na Roberto Firmino mawili, wakati mkwaju wa penalti Danny Ings uliookolewa na Chris Neal baada ya Grujic kuchezewa faulo katika mchezo ambao Sadio Mane, Louis Karius na Joel Matip wote walianza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Tedesco under fire with footy fans after blatant trip on Melbourne
Storm fullback Ryan Papenhuyzen - as Roosters star is hit with a feather by
NRL judiciary
-
Roosters star James Tedesco has learnt his fate after appearing to trip
Melbourne Storm fullback Ryan Papenhuyzen on Thursday night at Allianz
Stadium - an...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment