Kiungo wa mabingwa wa England, Leicester City, Danny Drinkwater akiumiliki mpira wa juu kwa ustadi katikati ya wachezaji wa Oxford United usiku wa Jumaanne Uwanja wa Kassam katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya. Leicester ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Demarai Gray dakika ya 28, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Chris Maguire kutangulia kuifungia Oxford na Jeffrey Schlupp dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Wales, Burnley and Swansea winger James dies aged 71
-
Leighton James, the former Burnley Swansea and Wales winger, dies at the
age of 71.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment