Sadio Mane akifikiri amefunga baada ya kumlamba chenga kipa Joel Coleman wa Huddersfield, lakini refa akasema Msenegali huyo alichezewa rafu na kukataa bao hilo. Liverpool ilishinda 2-0 Uwanja wa John Smith, mabao ya Marko Grujic na Alberto Moreno kwa penalti na ingeweza kushinda 3-0 kama Philippe Coutinho asingekosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment