Jerome Boateng (kulia) wa Ujerumani akipambana na mchezaji mwenzake wa Bayern Munich, Robert Lewandowski wa Poland katika mchezo wa Kundi C Euro 2016 uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Ujerumani sasa inaongoza kundi hilo kwa wastani wa mabao ikiwa na pointi nne sawa na Poland, wakati Ireland ya Kaskazini ni ya tatu kwa pointi zake tatu na Ukraine inashika mkia ikiwa haina pointi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wachezaji wa Ireland Kaskazini wakiwa wamemzingira mwenzao, Gareth McAuley baada ya kufunga bao katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ukraine kwenye mchezo wa Kundi C Euro 2016 Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Bao lingine la Ireland limefungwa na Niall McGinn PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wachezaji wa Ireland Kaskazini wakiwa wamemzingira mwenzao, Gareth McAuley baada ya kufunga bao katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ukraine kwenye mchezo wa Kundi C Euro 2016 Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Bao lingine la Ireland limefungwa na Niall McGinn PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment