Nyota wa Wales, Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Manispaa mjini Toulouse, Ufaransa. Mabao mengine ya Wales yamefungwa na Aaron Ramsey na Neil Taylor na sasa wanakwenda hatua ya 16 Bora kama vinara wa kundi hilo kwa pointi zao sita, moja zaidi ya England waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Trolled by NFL Fans for CeeDee Lamb Contract Talks as St. Brown
Resets Market
-
The Detroit Lions made Amon-Ra St. Brown the highest-paid wide receiver in
the NFL with a massive contract extension on Wednesday, and that deal is
likely to…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment