Polisi wakizuia mioto iliyokuwa inarushwa uwanjani na mashabiki wa Croatia usiku wa jana Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa wakati timu yao inaingoza 2-1 katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 2-2 na Jamhuri ya Czech katika mchezo wa Kundi D Euro 2016. Mabao ya Croatia yalifungwa na Ivan Perisic na Ivan Rakitic, kabla ya Czech kusawazisha kupitia kwa Milan Skoda na Tomas Necid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
 Dreams FC coach Karim Zito says he will change game plan against Zamalek
in Kumasi
-
Dreams FC coach Abdul Karim Zito is gearing up to tweak his team's strategy
for their upcoming clash against Zamalek SC in Kumasi following their
impressiv...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment