Rais wa Simba SC (kulia) akiwa na kiungo wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Mohamed 'Mo' Ibrahim (katikati) baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na Wekundu wa Msimbazi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Jaki Football Academy, Jamal Kisongo wamiliki wa mchezaji, ambako pia ametokea Mbwana Samatta anayechezea KRC Genk ya Ubelgiji
Aveva akimtazama kwa makini Mo Ibrahim anavyosaini fomu za Mkataba wa Simba SC
Kushoto ni Meneja wa kituo Jaki Football Academy, Fadhil Husssein 'Mataifa' akipeana mikono na Aveva baada ya kukamalisha zoezi hilo
Aveva akimtazama kwa makini Mo Ibrahim anavyosaini fomu za Mkataba wa Simba SC
Kushoto ni Meneja wa kituo Jaki Football Academy, Fadhil Husssein 'Mataifa' akipeana mikono na Aveva baada ya kukamalisha zoezi hilo
0 comments:
Post a Comment