• HABARI MPYA

    Saturday, June 18, 2016

    AVEVA SASA AAMUA KUSAJILI MWENYWE SIMBA SC, AMSAINI MO IBRA

    Rais wa Simba SC (kulia) akiwa na kiungo wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Mohamed 'Mo' Ibrahim (katikati) baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na Wekundu wa Msimbazi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Jaki Football Academy, Jamal Kisongo wamiliki wa mchezaji, ambako pia ametokea Mbwana Samatta anayechezea KRC Genk ya Ubelgiji
    Aveva akimtazama kwa makini Mo Ibrahim anavyosaini fomu za Mkataba wa Simba SC
    Kushoto ni Meneja wa kituo Jaki Football Academy, Fadhil Husssein 'Mataifa' akipeana mikono na Aveva baada ya kukamalisha zoezi hilo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AVEVA SASA AAMUA KUSAJILI MWENYWE SIMBA SC, AMSAINI MO IBRA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top