Nyota wa Argentina, Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 4-1 Alfajiri ya leo dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali wa michuano ya Copa America Uwanja wa Gillette Stadium mjini Foxborough, Massachusetts, Marekani. Mabao mengine ya Argentina yalifungwa na Gonzalo Higuain mawili na Erik Lamela, wakati la kufutia machozi la Venezuela lilifungwa na Salomon Rondon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Scale of Ryan Reynolds and Rob McElhenney's funding into Wrexham
laid bare by the club's astronomical wage bill... after the Hollywood
owners admitted they were 'f****d without National League promotion
-
Wrexham paid out £6.9million in wages during their promotional season from
the National League as the level of funding from the club's Hollywood
owners was...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment