Winga wa Argentina, Angel Di Maria akimtoka beki wa Chile, Gary Medel katika mchezo wa Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Levi mjini Santa Maria, Marekani. Argentina iliyocheza bila nyota wake, Lionel Messi, imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Angel di Maria na Ever Banega, wakati la Chile limefungwa na Jose Fuenzalida PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cronulla Sharks star Braydon Trindall stood down after failed roadside
booze, drugs tests
-
Braydon Trindall will not play this weekend and is now being investigated
by the NRL integrity unit after the Sharks five-eighth failed initial
roadside al...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment