Waziri wa Kilimo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimuinua mkono kocha wa Yanga, Mholanzi Hans van der Pluijm (kulia) baada ya kumvalisha skafu ya bendera ya Tanzania kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu hiyo na Ndanda FC ya Mtwara jioni hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
WAZIRI NCHEMBA 'AMPA URAIA' WA TANZANIA KOCHA PLUIJM
Waziri wa Kilimo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimuinua mkono kocha wa Yanga, Mholanzi Hans van der Pluijm (kulia) baada ya kumvalisha skafu ya bendera ya Tanzania kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu hiyo na Ndanda FC ya Mtwara jioni hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
0 comments:
Post a Comment