Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiruka hewani kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao yote matatu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Nuevo Los Carmenes. Ushindi huo umeifanya Barca kufikisha pointi 91 baada ya kucheza mechi 38 na kutwaa ubingwa wa La Liga, wakiwazidi kwa pinti moja mahasimu, Real Madird PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment footy star is spotted making X-rated comment during poignant
Anzac Day ceremony ahead of Collingwood vs Essendon
-
During the Australian national anthem, he was seen turning to fellow Pies
star Steele Sidebottom and appeared to say 'I f***ing s*** myself',
referrinbg to...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment