Shabiki maarufu wa Simba SC, Fii (kulia) akila koni kwa raha zake huku akishuhudia mchezo wa jana kati ya Yanga na Sagrada Esperanca ya Angola Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0 mchezo huo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kupangwa kwenye makundi ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika
Fii sasa hapa anamalizia biskuti ya koni, huku Yanga wakiwatesa Waangola Uwanja wa Taifa
Fii alikuwa mwenye furaha jana, huku akishuhudia burudani safi ya soka ya watani na kupoozea kwa koni yake ya Azam
0 comments:
Post a Comment