Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Southampton dakika za 28, 57 na 68 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Manchester City Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo. Bao lingine la Watakatifu limefungwa na Shane Long dakika ya 25, wakati ya City yamefungwa na Mnigeria Kelechi Promise Iheanacho dakika za 44 na 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Five English teams in the Champions League would be an insult to Busby,
Clough and Paisley, writes IAN LADYMAN. It's the closest the big clubs
could get to a European Super League
-
There are only 20 teams in the Premier League. So to consider offering a
quarter of those clubs places in the Champions League feels a little like
an insul...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment