Mshambuliaji wa Real Madrid, Mreno Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao yote katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi. Kwa mabao hayo, Ronaldo ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kihistoria kufunga mabao zaidi ya 50 kwa misimu sita mfululizo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Not since Diego Maradona have Argentina had a pantomime villain to match
wind-up merchant Emiliano Martinez... but his £16m move to Aston Villa is
one of Arsenal's daftest decisions this century
-
TOM COLLOMOSSE: The Aston Villa goalkeeper is the biggest wind-up merchant
in world football and is disliked in France in much the same way Maradona
was in...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment