Mashabiki wa Yanga 'wakimgombania' kipa wa timu yao, Deo Munishi 'Dida' wakati timu ilipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam mchana wa leo kutoka Angola ambako iliwatoa wenyeji Sagrada Esparanca mjini Dundo juzi kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya kushinda 2-0 nyumbani na kufungwa 1-0 juzi ugenini, hivyo kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika |
0 comments:
Post a Comment