Mshambuliaji kinda wa miaka 17 wa West Brom, Jonathan Leko akipambana na beki wa Liverpool, Brad Smith kuwania mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji likifungwa na Jose Salomon Rondon dakika ya 13, kabla ya Jordon Ibe kuisawazishia Liverpool dakika 10 baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane has a 'DINOSAUR mentality', blasts West Ham striker Michail
Antonio - after Man United legend made thinly-veiled dig at him for
podcasting and 'having a laugh' after defeats
-
Michail Antonio has hit out at Roy Keane's 'dinosaur mentality' after the
Manchester United legend criticised players who host podcasts.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment