Nahodha wa Leicester City, Wes Morgan (wa pili kulia) wakiwa wameinua taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya England na kocha Claudio Ranieri (katikati) baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton Uwanja wa King Power leo. Mabao ya Leicester yamefungwa na baada ya ushindi wa 3-1 Jamie Vardy mawili moja kwa penalti, huku pia akikosa penalti moja na lingine Andy King, wakati la Everton limefungwa na Kevin Mirallas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment